×

Mali tatu hufafanua Uislam na viwango vitatu vya dini - (Kiswahili)

Mali tatu hufafanua Uislam na viwango vitatu vya dini

Mali tatu ni asili ya kwanza ya Bwana wako - (Kiswahili)

Mali tatu ni asili ya kwanza ya Bwana wako

Qauli yenye faida 15 Mwongozo katika kutekeleza Ibada ya Hijja - (Kiswahili)

Mada hii Inaelezea kuhusu nguzo ya tano za Uislam, pia ameeleza muda na wakati wa kuhiji, na mwongozo katika kutekeleza ibada hiyo, pia amewatahadharisha mahujaji kuingia katika shirki wakati wa kutembelea mji mtukufu wa Madina.

Qauli yenye faida 02 Umuhimu wa Tawhid na Nguzo zake - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia umuhimu wa tawhid na nguzo zake

Qauli yenye faida 01 Maana ya Tawhidi - (Kiswahili)

Mada hii Inaelezea Maana ya Tawhiid na Ibada kisha ameelezea wigo wa Ibada za qauli na vitendo.

Acha Athari Njema 10 - (Kiswahili)

Mada hii Inaelezea kuhusu umuhimu wa kufuata walio tutngulia kwa wema, ili wajifunze watoto wetu kutokana na matendo yetu mema.

SHERHE QAWA’ID AL ARBA’A 4 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea Misingi Minne ya Imamu Muhamad bin Abdul Wahab, Allah amrehemu, amelezea msingi wa nne kwamba washirikina wa zama hizi wana shirki kubwa kuliko wa zamani.

SHERHE QAWA’ID AL ARBA’A 3 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea Misingi Minne ya Imamu Muhamad bin Abdul Wahab, Allah amrehemu, amelezea msingi wa tatu ambao ni hali ya watu wakati wa kutumwa mtume alayhi salaam.

SHERHE QAWA’ID AL ARBA’A 2 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea Misingi Minne ya Imamu Muhamad bin Abdul Wahab, Allah amrehemu, amelezea Msingi wa kwanza kwamba kuamini Rububiyah hakumfanyi mtu kuwa Muislam, na wa pili, kwamba Maquraishi walikuwa wakiabudu masanamu ili yawakuribishe kwa Allah.

SHERHE QAWA’ID AL ARBA’A 1 - (Kiswahili)

Mada hii inaelezea Misingi Minne ya Imamu Muhamad bin Abdul Wahab, Allah amrehemu, amelezea Umuhimu wa Tawhid na faida zake na umuhimu wa kusoma misingi yake.

Umuhimu Wa Imani 14 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuhamasisha watu katika kutafuta elimu, pia imezungumzia chuki za makafiri juu ya waislamu na tofauti kati ya dola ya kiislamu na dola isiyokuwa ya kiislamu.

Umuhimu Wa Imani 13 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Utofauti na mgawanyiko wa elimu katika jamii na kwamba kuna elimu ya lazima na elimu isiyo ya lazima, pia imezungumzia umuhimu wa elimu ya dini ambayo ndiyo elimu ya faradhi.