• Mada hii inazungumzia: Haki za binadamu katika uislam amezungumzia maana ya haki na umuhimu wa kujuwa haki za binadamu na ulazima wa kuzilinda, pia ametaja haki tano katika Quraan kwa ujumla. • Mda hii inazungumzia: maana ya binadamu na maana ya uislam, na ametaja mafundisho ya uislam kuhusu haki....
Haki Za Binadamu Katika Uislam - (Kiswahili)
Vitabu Vya Kiswahili - (Kiswahili)
Vitabu Vya Kiswahili
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 30 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya malipo ya mtu mwenye kuswali swala ya jamaa nyuma ya takbira ya Imamu kwa siku arubaini, pia imezungumzia swafu iliyo bora kwa wanaume.
SHARTI ZA SWALA NA NGUZO ZAKE NA WAJIBU WAKE - (Kiswahili)
SHARTI ZA SWALA NA NGUZO ZAKE NA WAJIBU WAKE
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 32 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mahala atakapo pumzika Mtume (s.a.w) Peponi baada ya kufa kwake, pia imefafanunua na kutafsiri maajabu yote aliyo kutana nayo Mtume (s.a.w) na Malaika.
Je, IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu? - (Kiswahili)
Je, IMANI YA UTATU Ni ya Ufunuo Mtakatifu?.
TABIA KWENYE UISLAMU - (Kiswahili)
TABIA KWENYE UISLAMU
Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo - (Kiswahili)
Ujumbe wa kweli wa Yesu Kristo.
Makasisi Waingia Uislamu - (Kiswahili)
-
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 31 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika hadithi ya ndoto na maajabu aliyoyaona akiwa na Malaika, pia imezungumzia nyumba aliyokabidhiwa Mtume (s.a.w) na Malaika baada ya safari ndefu.
TAHADHARI DHIDI YA UZUSHI - (Kiswahili)
Tumeifanyia nini dini yetu ? - (Kiswahili)
Mada hii inazunguzia namna dunia ilivyo uchanganya umma wa kiislam.
