The Disavowal Of Satan From People In The Day Of Judgement
Neema Za Nyumba Na Tabia Za Majumbani - (Kiswahili)
1- Mada hii inazungumzia: Neema za nyumba na faidazake, nakwamba nyumba niukamilifu wa neema za Allah kwa waja wake, pia imezungumzia baadhi ya faida za nyumba kama vile makazi, stara, kulala, ibada ya swala na ibada ya ndoa. 2- Mada hii inazungumzia: Nyumba ni sehem ya kumstiri mwanamke na kumlinda....
Mvurugiko Wa Madili Katika Nyumba Za Waislam - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia mmomonyoko na mvurugiko wa maadili katika nyumba za waislam, na uwajibu wa kujifunza kwa mtume alayhi salam.
Uongozi Katika Uislam - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia uongozi katika uislam,na umuhimu wa uongozi,na matatizo ya misikitini na tasisi za kislam,na dalili ambazo zimekuja kuzungumzia uongozi,mifano hai ya uongozi na umuhimu wake
TAKBIRA - (Kiswahili)
TAKBIRA
Hukumu Za Jeneza - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia sherehe ya kitabu cha shekh albani,na muongozo kamili wa jeneza kuanzia ugonjwa na kufariki dunia,na kuoshwa na kuvikwa sanda,na kuswalia, na kuzikwa.
NGUZO ZA IMANI Katika Hotuba za Al-Masjid An-Nabawi - (Kiswahili)
NGUZO ZA IMANI Katika Hotuba za Al-Masjid An-Nabawi
NYENZO ZA KUTHIBITI - (Kiswahili)
NYENZO ZA KUTHIBITI
Hukumu za Siku ya Mwisho - (Kiswahili)
Hukumu za Siku ya Mwisho
MAFUNSO A ANA pA CHIKHULUPILIRO - (Kiswahili)
MAFUNSO A ANA pA CHIKHULUPILIRO
Imani na Nguzo zake - (Kiswahili)
Imani na Nguzo zake
100 suali na jawabu katika Aqida ya Tawhidi - (Kiswahili)
KITABU HICHI KIMEFANYIWA TARJAMA NA BAADHI YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU VHA MADINA WANAOTOKEA KATIKA NCHI YA TANZANIA. NA IKAPITIWA TARJAMA HIYO NA DR SALIM KARARI AMBAYE NI CHA MHITIMU WA KITIVO CHA DAAWA NA ASILI NI MKENYA. NA LENGO NI KUNUFAIKA WALE WENYE KUZUNGUMZA LUGHA YA KISWAHILI ILI WAFIKIE....
