×

Mafungu ya tawhidi ni mangapi? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Ni lipi lililo la wajibu kwetu juu maswahaba? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Je, Tunaweza kuchupa mipaka katika kumsifu Mtume? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Ni nini maana ya kuamini Qadar? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Qauli yenye faida 16 Maana ya Kumuamini Allah - (Kiswahili)

Mada hii Inaelezea kuhusu maana ya Imani na mambo ambayo yanaingia katika Imani, na ameeleza kuwa Imani inazidi na kupungua.

Uislamu Vyanzo vyake na misingi yake - (Kiswahili)

Mtunzi wa kitabu hiki ameelezea kuhusu Uislamu kwa ufupi kwa kutaja maana yake nguzo zake na vyanzo vyake vitukufu, pia ameeleza mambo yanayo takiwa kubainishwa katika hali ya kulingania dini ya Uislam.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 08 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kutimiza lengo la ndoa na umuhimu wa wanawake wa kiislamu kumuiga Mama Aisha (r.a), pia imezungumzia umuhimu wa subra kwa wana ndoa.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 25 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kuwalea mabinti katika majumba na malipo anayo pata mwenye kuwalea mabinti wawili katika misingi ya uislam, pia amezungumza kuwa watoto wakike wanalindwa.

Qauli yenye faida 19 Kuamini Malaika - (Kiswahili)

Mada hii Inaelezea Maisha ya malaika na chanzo cha kufukuzwa Shetani pia ameeleza kwamba malaika wanaishi peponi na amehitimisha kuelezea kuamini vitabu vya Allah alivyo viteremsha kwa Manabii wake.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 23 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Sababu ya Qabil kumua ndugu yake Habil na namna alivyomzika, pia imezungumzia hatari ya dhambi ya kuua na umuhimu kwa muislamu kujutia madhambi.

HII NDIYO ITIKADI YETU - (Kiswahili)

Kitabu hiki kinazungumzia: Itikadi sahihi ya muislam, kinazungumzia pia imani ya kweli ni kumuamini Allah na Malaika wake na Vitabu vyake na Mitume wake, na matunda yake, na malipo ya wenye kumpwekesha Mweyezi Mungu.

Kuamini Qadari Ni Sababu Ya Kupata Sa’ada - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuamini Qadari na kwamba kila kitu anapanga Allah, pia imezunguzia muislam anatakiwa kuishi na watu vizuri pamoja kutosheka na kichache anachopata.