×

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 07 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kufanya uadilifu ndani ya ndoa na namna Aisha (r.a) alivyojifakharisha kwa Mtume (s.a.w) wakati wa uhai wake na kabla ya kufa kwake (s.a.w), pia imezungumzia tukio la kufa Mtume (s.a.w).

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 06 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya nafasi ya usafi katika Uislamu ikiwemo Sunna ya kupiga mswaki, pia imezungumzia ubora na umuhimu wa maisha ya ndoa.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 05 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Dua alizoomba Mtume (s.a.w) ili Allah amkinge na Moto wa Jahanam na Adhabu za kaburini, pia imezungumzia miongoni mwa sababu za watu kuadhibiwa kaburini.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 04 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Watu aina mbili ni watu wa fitina kubwa ni wajibu kwa Muislamu kujiepusha nao, pia imezungumzia umuhimu wa kuchukua tahadhari wakati wa ikukidhi haja.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 03 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Maana ya suna, na umuhimu wake na daraja zake, na kwamba Sunna zimegawanyika namna tofauti katika maamrisho na makatazo, pia imezungumzia hatari ya dhambi ya kusengenya na kugombanisha watu.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 02 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Kufaulu ni juu ya wanaomtii Allah na Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhimu wa kumuiga Mtume (s.a.w) katika kila jambo.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 01 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Neema ya kuletwa Mtume (s.a.w) akiwa ni rehma kwa walimwengu wote na umuhimu wa kushukuru juu ya neema uislamu, pia imefafanua maana ya khutbatul-haja .

TAWHIDI KATIKA HOTUBA ZA AL-MASJID AN-NABAWI - (Kiswahili)

TAWHIDI KATIKA HOTUBA ZA AL-MASJID AN-NABAWI

Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 58 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mtume (s.a.w) alikuwa akileta tasbihi baada ya swala kwa mkono wake wa kulia, pia imeelezea Dua aliyokuwa akiomba Mtume (s.a.w).

Adhkari zinazo semwa asubuhi na jioni. - (Kiswahili)

Adhkari zinazo semwa asubuhi na jioni.

Sunna za kimaumbile na mahimizo ya uislam kuhusu usafi wa mwili - (Kiswahili)

Sunna za kimaumbile na mahimizo ya uislam kuhusu usafi wa mwili

Dua ya ufunguzi wa swala - 19 - (Kiswahili)

Mrorongo wa Nyiradi na dua mbalimbali ambazo nimuhimu katika maisha ya muislam, ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili.