×

Umuhimu Wa Imani 09 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Sababu ya Maswahaba kufanya (Hijra ya kwanza) kuhama kutoka Makkah kwenda Habashi na yale waliyo jifunza, pia imezungumzia mbinu, njia na namna ya kufundisha.

Umuhimu Wa Imani 08 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mipango ya makafiri juu ya kuuangamiza uislamu na kwamba ni mipango ya muda mrefu, pia imezungumzia umuhimu wa waislamu kujidhatiti katika vyuo, misikitiki na majumbani ili kuwajenga vijana wa kiislamu katika imani ya kweli.

Umuhimu Wa Imani 07 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa mambo yanayofanya imani izidi ni muislamu kudumu katika kuisoma Qur’an tukufu, pia imezungumzia umuhimu wa kufanya da’awa kama walivyofanya Maswahaba (r.a.w).

Umuhimu Wa Imani 06 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa elimu na kwamba elimu humfanya muislamu kuwa juu endapo atasoma kwa ajili ya Allah, pia imezungumzia umuhimu wa waislamu kusomea udaktari kutokana na zama tulizo nazo.

Umuhimu Wa Imani 05 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Masharti ya kukubaliwa matendo na imefafanua maana ya kufanya jambo kwa ajili ya Allah, pia imezungumzi umuhimu wa kutafuta elimu kwa ajili ya Allah na kuunufaisha umma wa kiislamu.

Umuhimu Wa Imani 04 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Uzinduo kwa umma wa kiislamu ili wawajue maadui wa Uislamu na waislamu, pia imefafanua baina ya imani ya kweli na imani mbovu, na kwamba kwa kushikamana na Qur’an imani inakua thabiti.

Umuhimu Wa Imani 03 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Ukubwa wa imani waliyoipata wanawake wa kianswari baada ya kushuka Aya za hijabu, pia imezungumzia mfumo na mwongozo wa Qur’an na Sunna za Mtume (s.a.w).

Umuhimu Wa Imani 02 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Kuipenda dunia na kuiacha Qur’an tukufu ni katika sababu za kudhoofika umma wa kiislam katika jamii, pia imezungumzia namna gani Maswahaba walivyokuwa wakifundishwa Qur’an na Mtume (s.a.w).

Umuhimu Wa Imani 01 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa imani na sababu za kudhoofika umma wa kiislamu, pia imefafanua maana ya kukihama kitabu cha Mwenyezi Mungu na imezungumzia uzito na thamani ya Qur’an tukufu.

Uchawi - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia uchawi, hukumu yake na madhara yake na uchafu wa mchawi na adhabu zake.

Qauli yenye faida 13 Nguzo za Uislam - (Kiswahili)

Mada hii Inaelezea kuhusu nguzo za Uislam na mpangilio wake kutokana na dalili zilizo pokelewa katika kubainisha nguzo hizo, kisha akabainisha ubora wa swala na cheo chake na hukumu ya alie kufa na alikuwa haswali.

Qauli yenye faida 09 Daraja za Dini - (Kiswahili)

Mada hii Inaelezea kuhusu Daraja za dini na maana yake kisha ameeleza maana ya Uislam.