Mada hii inazungumzia: Dua alizoomba Mtume (s.a.w) ili Allah amkinge na Moto wa Jahanam na Adhabu za kaburini, pia imezungumzia miongoni mwa sababu za watu kuadhibiwa kaburini.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 05 - (Kiswahili)
Uchawi - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia uchawi, hukumu yake na madhara yake na uchafu wa mchawi na adhabu zake.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 06 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya nafasi ya usafi katika Uislamu ikiwemo Sunna ya kupiga mswaki, pia imezungumzia ubora na umuhimu wa maisha ya ndoa.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 07 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kufanya uadilifu ndani ya ndoa na namna Aisha (r.a) alivyojifakharisha kwa Mtume (s.a.w) wakati wa uhai wake na kabla ya kufa kwake (s.a.w), pia imezungumzia tukio la kufa Mtume (s.a.w).
Qauli yenye faida 13 Nguzo za Uislam - (Kiswahili)
Mada hii Inaelezea kuhusu nguzo za Uislam na mpangilio wake kutokana na dalili zilizo pokelewa katika kubainisha nguzo hizo, kisha akabainisha ubora wa swala na cheo chake na hukumu ya alie kufa na alikuwa haswali.
Qauli yenye faida 09 Daraja za Dini - (Kiswahili)
Mada hii Inaelezea kuhusu Daraja za dini na maana yake kisha ameeleza maana ya Uislam.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 08 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kutimiza lengo la ndoa na umuhimu wa wanawake wa kiislamu kumuiga Mama Aisha (r.a), pia imezungumzia umuhimu wa subra kwa wana ndoa.
Qauli yenye faida 19 Kuamini Malaika - (Kiswahili)
Mada hii Inaelezea Maisha ya malaika na chanzo cha kufukuzwa Shetani pia ameeleza kwamba malaika wanaishi peponi na amehitimisha kuelezea kuamini vitabu vya Allah alivyo viteremsha kwa Manabii wake.
Qauli yenye faida 16 Maana ya Kumuamini Allah - (Kiswahili)
Mada hii Inaelezea kuhusu maana ya Imani na mambo ambayo yanaingia katika Imani, na ameeleza kuwa Imani inazidi na kupungua.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 09 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mafundisho ya Mtume (s.a.w) katika kufurahishana na kusaidiana mke na mume ndani ya ndoa, pia imezungumzia njia sahihi za kumaliza ugomvi baina ya mume na mke. Kisha ametaja faida za mswaki.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 32 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mahala atakapo pumzika Mtume (s.a.w) Peponi baada ya kufa kwake, pia imefafanunua na kutafsiri maajabu yote aliyo kutana nayo Mtume (s.a.w) na Malaika.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 26 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa faida za kumtembelea mgonjwa au ndugu katika Uislamu ikiwemo kukumbushana katika mambo ya kheri, pia imezungumzia umuhimu na ubora wa ibada ya swala.