Mada hii inazungumzia: Watu aina mbili ni watu wa fitina kubwa ni wajibu kwa Muislamu kujiepusha nao, pia imezungumzia umuhimu wa kuchukua tahadhari wakati wa ikukidhi haja.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 04 - (Kiswahili)
Asili tatu zinaamini Siku ya Mwisho - (Kiswahili)
Asili tatu zinaamini Siku ya Mwisho
Umuhimu Wa Imani 01 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa imani na sababu za kudhoofika umma wa kiislamu, pia imefafanua maana ya kukihama kitabu cha Mwenyezi Mungu na imezungumzia uzito na thamani ya Qur’an tukufu.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 09 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mafundisho ya Mtume (s.a.w) katika kufurahishana na kusaidiana mke na mume ndani ya ndoa, pia imezungumzia njia sahihi za kumaliza ugomvi baina ya mume na mke. Kisha ametaja faida za mswaki.
Vigezo vitatu vinaamini katika vitabu - (Kiswahili)
Vigezo vitatu vinaamini katika vitabu
Uchawi - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia uchawi, hukumu yake na madhara yake na uchafu wa mchawi na adhabu zake.
Masuala matatu Tafsiri - (Kiswahili)
Masuala matatu Tafsiri
Sifa Ya Udhu Wa Mtume (s.a.w) - (Kiswahili)
"Mada hii inazungumzia: Utaratibu na namna ya kutawadha kama alivyotawadha Mtume (s.a.w). kama ilivyo kuja katika hadithi ya Humran(r.a) Pia amezungumzia ubora wa swala baada ya Udhu."
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 03 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Maana ya suna, na umuhimu wake na daraja zake, na kwamba Sunna zimegawanyika namna tofauti katika maamrisho na makatazo, pia imezungumzia hatari ya dhambi ya kusengenya na kugombanisha watu.
Qauli yenye faida 09 Daraja za Dini - (Kiswahili)
Mada hii Inaelezea kuhusu Daraja za dini na maana yake kisha ameeleza maana ya Uislam.
Qauli yenye faida 19 Kuamini Malaika - (Kiswahili)
Mada hii Inaelezea Maisha ya malaika na chanzo cha kufukuzwa Shetani pia ameeleza kwamba malaika wanaishi peponi na amehitimisha kuelezea kuamini vitabu vya Allah alivyo viteremsha kwa Manabii wake.
Imani ya imani tatu katika mahakama - (Kiswahili)
Imani ya imani tatu katika mahakama
