×

Kuwafanyia uadui mawalii wa Mwenyezi Mungu -43 - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea Mambo mbalimbali yaliyo katazwa katika uislam na imewekwa kwa njia ya maandishi.

Nani alie ni umba ? Na kwa nini ? - (Kiswahili)

Nani alie ni umba ? Na kwa nini ?. Maudhui zilizondani: 1. Maana ya Uisilamu. 2. Misingi mikuu ya Uisilamu:         - Kumuamini Allah Muumba wa kila kitu.         - Kuamini Mitume wote.         - Kuamini Vitabu vitukufu vyote.         - Kuamini Malaika.         - Kuamini Siku ya mwisho.         - Kuamini Kadari ya heri na....

Umegundua uzuri wake wa kweli - (Kiswahili)

Umegundua uzuri wake wa kweli

FADHILA ALIZO PEWA MWANADAMU - (Kiswahili)

Anuwani ya mada hii ni: Fadhila alizopewa mwanadamu, na kuitumia vizuri neema ya macho na ulimi.

KUHESHIMIYANA - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia Mipaka ya kuheshimiyana baina ya waislam.

KUITUMIKIA DINI - (Kiswahili)

MADA HII INAZUNGUMZIA UWAJIBU NA UBORA WA KUITUMIKIA DINI NA MALIPO ATAKAYO PATA ATAKAE KUFA KATIKA KUITUMIKIA DINI YA UISLAM.

Uislam Africa Mashariki - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia uhusiano wa africa na uislam,na watu wakwanza walio leta uislam africa mashariki,na ukarimu wa watu wa afrika mashariki.