Mada hii inazungumzia: Watu aina mbili ni watu wa fitina kubwa ni wajibu kwa Muislamu kujiepusha nao, pia imezungumzia umuhimu wa kuchukua tahadhari wakati wa ikukidhi haja.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 04 - (Kiswahili)
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 03 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Maana ya suna, na umuhimu wake na daraja zake, na kwamba Sunna zimegawanyika namna tofauti katika maamrisho na makatazo, pia imezungumzia hatari ya dhambi ya kusengenya na kugombanisha watu.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 02 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Kufaulu ni juu ya wanaomtii Allah na Mtume (s.a.w), pia imezungumzia umuhimu wa kumuiga Mtume (s.a.w) katika kila jambo.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 01 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Neema ya kuletwa Mtume (s.a.w) akiwa ni rehma kwa walimwengu wote na umuhimu wa kushukuru juu ya neema uislamu, pia imefafanua maana ya khutbatul-haja .
Namna Ya Kutawadha Na Kuswali 58 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mtume (s.a.w) alikuwa akileta tasbihi baada ya swala kwa mkono wake wa kulia, pia imeelezea Dua aliyokuwa akiomba Mtume (s.a.w).
uchawi - (Kiswahili)
uchawi
Sunna za kimaumbile na mahimizo ya uislam kuhusu usafi wa mwili
Dua ya ufunguzi wa swala - 19 - (Kiswahili)
Mrorongo wa Nyiradi na dua mbalimbali ambazo nimuhimu katika maisha ya muislam, ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili.
Dua ya sijda ya kisomo - 18 - (Kiswahili)
Mrorongo wa Nyiradi na dua mbalimbali ambazo nimuhimu katika maisha ya muislam, ambazo zimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili.
Je, inafaa kusema mtu flani ni shahidi? - (Kiswahili)
Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.
Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.
Ni nini hukumu ya kuweka nadhiri? - (Kiswahili)
Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.
