×

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 22 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni wa sababu za mtu kuokoka na Moto wa Jahanam, pia imezungumzia umuhimu wa kutoa kilicho bora kwa ajili ya Allah na hatari ya ubakhili na imeelezea kwa ufupi kisa cha watoto wa Nabii Adam (a.s) Qabili na Habili.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 21 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kujitolea damu na kumuongezea mgonjwa na kwamba kumuona na kumsaidia mgonjwa ni sababu ya kupatana kwa watu waliokosana, pia imezungumzi umuhimu wa waislamu kuwa kitu kimoja

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 20 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kumsaidia, kumtembelea na kumfariji mtu hasa anapokua mgonjwa, pia imezungumzia namna baadhi ya Waislamu wanavyo ipuuzia na kuisahau Sunna hii

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 19 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa sababu za Allah kumlipa Pepo mtu mwenye kumtembelea mgonjwa na namna ya kumtamkisha mgonjwa kalmia ya laa iLLaha illa LLah, pia imezungumzia umuhimu wa muislamu kujiandaa na kifo

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 18 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: ukamilifu wa mada ilio pita ikizungumzia maana ya kumswalia mtume (s.a.w) kisha amebainisha namna ya kumswalia mtume, na hatari ya uzushi katika dini.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 17 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya kumtembelea mgonjwa ametaja ubora wa mkutembelea mgonjwa, ikiwemo Malaika elfu sabini wanamuombea dua, na kuzungukwa na rehma, pia imefafanua maana ya malaika kumswalia.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 16 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya kumtembelea mgonjwa au ndugu katika imani na namna Maswahaba wa Mtume (s.a.w) walivyo dumu na Sunna hii, pia imezungumzia fadhila na malipo yake.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 15 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kumtembelea mgonjwa, na ubora wake pa amezungumzia hali ya waislam katika zama hizi, na kwamba kumtembelea mgonjwa ni ibada ilio hamwa.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 14 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika namna ya kupiga mswaki, pia imezungumzia umuhimu wa kufuata mwenendo wa Mtume (s.a.w), na ameongelea uwajibu wa usafi na ameendelea kutaja nyakati za kupiga mswaki.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 13 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika taratibu za kupiga mswaki na miongoni mwa faida na tiba inayopatikana katika kupiga mswaki, pia imezungumzia nyakati ambazo ni muhimu na ni Sunna kupiga mswaki.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 12 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kufanya matendo mema kwa siri bila ya kujionyesha mbele za watu, nakwamba ibada za siri nisababu ya kujibiwa dua ikiwa ni kwa ikhlas.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 11 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika umuhimu wa kutoa na kujitolea kwa ajili ya Allah, pia imezungumzia umuhimu wa kuwasaidia masikini na hatari ya ubakhili