Muhtasari wa misingi minne
Muhtasari wa misingi minne - (Kiswahili)
Kitabu hiki kimetafsiriwa na Shekh Shekh Muhamad Bin swaleh Al Uthaynin Allah amuhifadhi. Kitabu kimekusanya maswali na majibu kuhusu nguzo za Uislam.
UJUMBE WA UISLAMU KWA ULIMWENGU MZIMA - (Kiswahili)
---------
Riyaadh Swalihiin - (Kiswahili)
Kitabu Riyaadhu Swalihin kimetafsiriwa kwa lugha ya kiswahili, kimeandikwa na Imam Yahya Bin sharaf An Nawawy kutoka Damaskas, amekusanya katika kitabu hiki hadithi sahiihi za mtume Muhamad rehma na amani ziwe juu yake, na hadithi zimeeleza mambo yote ya itikadi, na maisha ,amezileta hadithi kwa mpangilio wa milango na vifungu,....
Uislamu Vyanzo vyake na misingi yake - (Kiswahili)
Mtunzi wa kitabu hiki ameelezea kuhusu Uislamu kwa ufupi kwa kutaja maana yake nguzo zake na vyanzo vyake vitukufu, pia ameeleza mambo yanayo takiwa kubainishwa katika hali ya kulingania dini ya Uislam.
HII NDIYO ITIKADI YETU - (Kiswahili)
Kitabu hiki kinazungumzia: Itikadi sahihi ya muislam, kinazungumzia pia imani ya kweli ni kumuamini Allah na Malaika wake na Vitabu vyake na Mitume wake, na matunda yake, na malipo ya wenye kumpwekesha Mweyezi Mungu.
BID´AH ZA JENEZA - (Kiswahili)
Kitabu hiki kinazunguzia bid’ah (uzushi) katika mambo ya jeneza
SHARTI ZA SWALA NA NGUZO ZAKE NA WAJIBU WAKE - (Kiswahili)
SHARTI ZA SWALA NA NGUZO ZAKE NA WAJIBU WAKE
AQEEDAH YA MISINGI - (Kiswahili)
AQEEDAH YA MISINGI
DUA - (Kiswahili)
DUA
NGUZO ZA IMANI Katika Hotuba za Al-Masjid An-Nabawi - (Kiswahili)
NGUZO ZA IMANI Katika Hotuba za Al-Masjid An-Nabawi
Mazungumzo ya Mwislamu na Mkristo - (Kiswahili)
-