Mada hii inazungumzia itikadi sahii ya Ahlusunna wa Aljamaa.
IJUWE ITIKADI YA AHLU SUNNAH WALJAMAA - (Kiswahili)
AQIDA YA AHLU SUNNA WAL JAMAA - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia Aqida ya Ahlu Sunna wal Jamaa.
Fadhila za Tawhid - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia fadhila za kumpwekesha Allah na kumtegemea yeye kwa kila kitu.
Makosa Yanayo Pingana Na Itikadi Sahihi - (Kiswahili)
Muhadhara huu unazungumzia kumpwekesha allah,na umuhimu wa muislam kuwa na itikadi sahihi,na makosa yanayo pingana na itikadi sahihi.
Nini maana ya uchawi na majinni ? - (Kiswahili)
Nini maana ya uchawi na majinni, vipi jinni anaweza kumuingia mtu, na dawa gani tutumie,na aya gani katika quran zinamchoma jinni ao shetani.
Kulingania Ktk Lailaha Illa Allah - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia ubora wa kulingania ktk njia ya mwenyezi mungu na malipo ya atakae kufa akiwa na lailaha illa allah.
Umuhimu Wa Tawhidi - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia umuhimu wa tamko la twuhiid (Lailaha Illa Allah),na lengo la kuumbwa kwetu, na aya zilizo bainisha lengo la kuumbwa kwetu,na sababu ya kutumwa mitume,na maana ya twaghuti,na malipo ya atakae kufa na tawhiidi ya (Lailaha Illa Allah).
USHIRIKINA KATIKA IBADA - (Kiswahili)
Mada hii inazunguzia balaa la ushirikina katika Ibadan a madhara yake.
MIONGONI MWA MAMBO YANAYOMTOA MUISLAM KATIKA UISLAM - (Kiswahili)
Mada hii inazunguzia mambo kumi amboyo yanamto mtu kati dini ya Uislam
MJA KUTO KUMJUWA MOLA WAKE NA ATHARI ZAKE - (Kiswahili)
Mada yakuona kwalugha ya Kiswahili inazungumzia madhara ya mwanadamu kuto kumjuwa mola wake.
Msimamo Wa Uislam Kuhusu Kujiripua - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia msimamo wa Uislam kuhusu kujiripuwa na aina za kujitoa muhanga,hukumu ya kujitoa muhanga,na sababu za kujiripua na uislam wa mwenye kujiripua.
Mambo Ya Msingi Ambayo Haitakikani Kwa Watoto Wa Kiislamu Kuto Yajua