Tawassul ya kisheria
Tawassul ya kisheria - (Kiswahili)
NGUZO ZA UISLAMU Shemu - (Kiswahili)
NGUZO ZA UISLAMU Shemu
Yanayo mpasa mtu kuoga - (Kiswahili)
Yanayo mpasa mtu kuoga
Vitenguzi vya Uislamu - (Kiswahili)
Vitenguzi vya Uislamu
Misingi Mitatu na Ushahidi Wake - (Kiswahili)
Kitabu hiki kinazungumzia mambo ya msingi ambayo yampasa Muislamu kujifunza: Kumjua Mwenyezi Mungu Mtukufu, kuijua dini ya Uislamu, na kumjua Mtume Muhammad rehema na amani ziwe juu yake, na kinaweka mkazo juu ya umuhimu wa mambo haya ya msingi katika kujenga imani na matendo mema kwa kutegemea ushahidi kutoka katika....
Kitabu hiki kimetafsiriwa na Shekh Shekh Muhamad Bin swaleh Al Uthaynin Allah amuhifadhi. Kitabu kimekusanya maswali na majibu kuhusu nguzo za Uislam.
Qauli yenye faida 13 Nguzo za Uislam - (Kiswahili)
Mada hii Inaelezea kuhusu nguzo za Uislam na mpangilio wake kutokana na dalili zilizo pokelewa katika kubainisha nguzo hizo, kisha akabainisha ubora wa swala na cheo chake na hukumu ya alie kufa na alikuwa haswali.
Qauli yenye faida 09 Daraja za Dini - (Kiswahili)
Mada hii Inaelezea kuhusu Daraja za dini na maana yake kisha ameeleza maana ya Uislam.
Qauli yenye faida 19 Kuamini Malaika - (Kiswahili)
Mada hii Inaelezea Maisha ya malaika na chanzo cha kufukuzwa Shetani pia ameeleza kwamba malaika wanaishi peponi na amehitimisha kuelezea kuamini vitabu vya Allah alivyo viteremsha kwa Manabii wake.
Qauli yenye faida 16 Maana ya Kumuamini Allah - (Kiswahili)
Mada hii Inaelezea kuhusu maana ya Imani na mambo ambayo yanaingia katika Imani, na ameeleza kuwa Imani inazidi na kupungua.
Kuamini Qadari Ni Sababu Ya Kupata Sa’ada - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Umuhimu wa kuamini Qadari na kwamba kila kitu anapanga Allah, pia imezunguzia muislam anatakiwa kuishi na watu vizuri pamoja kutosheka na kichache anachopata.
HII NDIYO ITIKADI YETU - (Kiswahili)
Kitabu hiki kinazungumzia: Itikadi sahihi ya muislam, kinazungumzia pia imani ya kweli ni kumuamini Allah na Malaika wake na Vitabu vyake na Mitume wake, na matunda yake, na malipo ya wenye kumpwekesha Mweyezi Mungu.
