Makala hii inazunguzia: Ubora wa Tawhiyd na kwambaTawhiyd Ni Bora kuliko Mali Na Starehe Za Duniani Na Neno La Tawhiyd nizito katika mizani kuliko mbingu saba na ardhi saba.
UBORA WA TAWHIYD - (Kiswahili)
Umuhimu Wa Tawheed - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia:Utukufu wa muislam kuwa na lailaha Illa Allah katika maisha yake, na mambo mengi alio yafanya Allah kwasababu ya neon hilo, na kuna habari njema kuwa mwenye kufa bila kufanya ushirikina ataingia peponi.
NIIPI HUKUMU YA KUWAOMBA WALIO PIGANA VITA VYA BADRI NO2 - (Kiswahili)
Mada hii ni fatwa inayo zunguzia kua Kuwaomba waliopigana katika vita vya Badri niushirikina.
NIIPI HUKUMU YA DUA YA AHLU BADRI? 1 - (Kiswahili)
Mada hii ni fatwa inayo zunguzia hukumu ya kuwaomba watu walio kufa katika vita vya Badri na mafungamano yao na waganga wa kienyeji.
UMUHIMU WATAUHIDI 3 - (Kiswahili)
Mada hii inazunguzia Umuhimu wa Tawhiid na uzito wa sura zilizo shuka kuizungumzia Tawhiid.
UMUHIMU WATAUHIDI 2 - (Kiswahili)
Mada hii inazunguzia Umuhimu wa Tawhiid katika Daawa na ndio jambo lakwanza linalo takiwa lianze katika daawa.
UMUHIMU WATAUHIDI1 - (Kiswahili)
Mada hii inazunguzia Maana ya Tawhiid na umuhimu wa Tawhiid na Tawhiid ndio msingi wa amani katika maisha ya duniani.
IJUWE ITIKADI YA AHLU SUNNAH WALJAMAA - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia itikadi sahii ya Ahlusunna wa Aljamaa.
AQIDA YA AHLU SUNNA WAL JAMAA - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia Aqida ya Ahlu Sunna wal Jamaa.
Fadhila za Tawhid - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia fadhila za kumpwekesha Allah na kumtegemea yeye kwa kila kitu.
Makosa Yanayo Pingana Na Itikadi Sahihi - (Kiswahili)
Muhadhara huu unazungumzia kumpwekesha allah,na umuhimu wa muislam kuwa na itikadi sahihi,na makosa yanayo pingana na itikadi sahihi.
Nini maana ya uchawi na majinni ? - (Kiswahili)
Nini maana ya uchawi na majinni, vipi jinni anaweza kumuingia mtu, na dawa gani tutumie,na aya gani katika quran zinamchoma jinni ao shetani.