×

NIIPI HUKUMU YA DUA YA AHLU BADRI? 1 - (Kiswahili)

Mada hii ni fatwa inayo zunguzia hukumu ya kuwaomba watu walio kufa katika vita vya Badri na mafungamano yao na waganga wa kienyeji.

UMUHIMU WATAUHIDI 3 - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia Umuhimu wa Tawhiid na uzito wa sura zilizo shuka kuizungumzia Tawhiid.

UMUHIMU WATAUHIDI 2 - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia Umuhimu wa Tawhiid katika Daawa na ndio jambo lakwanza linalo takiwa lianze katika daawa.

UMUHIMU WATAUHIDI1 - (Kiswahili)

Mada hii inazunguzia Maana ya Tawhiid na umuhimu wa Tawhiid na Tawhiid ndio msingi wa amani katika maisha ya duniani.

IJUWE ITIKADI YA AHLU SUNNAH WALJAMAA - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia itikadi sahii ya Ahlusunna wa Aljamaa.

AQIDA YA AHLU SUNNA WAL JAMAA - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia Aqida ya Ahlu Sunna wal Jamaa.

Fadhila za Tawhid - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia fadhila za kumpwekesha Allah na kumtegemea yeye kwa kila kitu.

Makosa Yanayo Pingana Na Itikadi Sahihi - (Kiswahili)

Muhadhara huu unazungumzia kumpwekesha allah,na umuhimu wa muislam kuwa na itikadi sahihi,na makosa yanayo pingana na itikadi sahihi.

Nini maana ya uchawi na majinni ? - (Kiswahili)

Nini maana ya uchawi na majinni, vipi jinni anaweza kumuingia mtu, na dawa gani tutumie,na aya gani katika quran zinamchoma jinni ao shetani.

Kulingania Ktk Lailaha Illa Allah - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia ubora wa kulingania ktk njia ya mwenyezi mungu na malipo ya atakae kufa akiwa na lailaha illa allah.

Umuhimu Wa Tawhidi - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia umuhimu wa tamko la twuhiid (Lailaha Illa Allah),na lengo la kuumbwa kwetu, na aya zilizo bainisha lengo la kuumbwa kwetu,na sababu ya kutumwa mitume,na maana ya twaghuti,na malipo ya atakae kufa na tawhiidi ya (Lailaha Illa Allah).

Msimamo Wa Uislam Kuhusu Kujiripua - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia msimamo wa Uislam kuhusu kujiripuwa na aina za kujitoa muhanga,hukumu ya kujitoa muhanga,na sababu za kujiripua na uislam wa mwenye kujiripua.