×

MASOMO MUHIMU KWA UMMA WOTE - (Kiswahili)

MASOMO MUHIMU KWA UMMA WOTE

Dondoo kuhusu Itikadi ya Kiislamu - (Kiswahili)

Kitabu hiki kinafafanua misingi ya imani inayojumuisha kumuamini Mwenyezi Mungu, na Malaika wake, na Vitabu vyake, na Mitume wake, na Siku ya Mwisho, na mipango ya Mwenyezi Mungu ya heri yake na ya shari yake; na kinaonyesha kanuni za msingi zilizo wajibu kwa Muislamu kuziamini na kuzifanyia kazi, kikisisitiza umuhimu....

Itikadi Dahihi - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia itikadi sahihi ya mwislam ambayo anatakiwa kila muislam kuifuata,pia itikadi ambayo mwislam hatakiwa kuifuata kama itikadi za kishia na itikadi za kinaswara.

Ulinzi wa Tauhidi - (Kiswahili)

Ulinzi wa Tawhidi

Ni wakati gani kuomba mvua kupitia nyota kunakuwa ni Shirki kubwa na niwakati gani inakuwa shirki ni ndogo? - (Kiswahili)

Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.

Uislamu Vyanzo vyake na misingi yake - (Kiswahili)

Mtunzi wa kitabu hiki ameelezea kuhusu Uislamu kwa ufupi kwa kutaja maana yake nguzo zake na vyanzo vyake vitukufu, pia ameeleza mambo yanayo takiwa kubainishwa katika hali ya kulingania dini ya Uislam.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 32 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mahala atakapo pumzika Mtume (s.a.w) Peponi baada ya kufa kwake, pia imefafanunua na kutafsiri maajabu yote aliyo kutana nayo Mtume (s.a.w) na Malaika.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 31 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika hadithi ya ndoto na maajabu aliyoyaona akiwa na Malaika, pia imezungumzia nyumba aliyokabidhiwa Mtume (s.a.w) na Malaika baada ya safari ndefu.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 30 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya malipo ya mtu mwenye kuswali swala ya jamaa nyuma ya takbira ya Imamu kwa siku arubaini, pia imezungumzia swafu iliyo bora kwa wanaume.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake29 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya malipo ya mtu mwenye kwenda mapema msikitini, pia imezungumzia faidha ya swala ya jamaa na umuhimu wa kukumbuka neema za Allah kabla ya kuulizwa siku ya Qiyama.

Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 28 - (Kiswahili)

Mada hii inazungumzia: Umuhimu na ubora kwa mwanamke wa kiislamu kuswalia nyumbani, pia imezungumzia fadhila anazopata mtu anapokaa msikitini akisubiri kuswali.