MASOMO MUHIMU KWA UMMA WOTE
MASOMO MUHIMU KWA UMMA WOTE - (Kiswahili)
Itikadi Dahihi - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia itikadi sahihi ya mwislam ambayo anatakiwa kila muislam kuifuata,pia itikadi ambayo mwislam hatakiwa kuifuata kama itikadi za kishia na itikadi za kinaswara.
Ni wakati gani kuomba mvua kupitia nyota kunakuwa ni Shirki kubwa na niwakati gani inakuwa shirki ni ndogo? - (Kiswahili)
Mada hizi zinaongelea maswali muhimu katika maisha ya muislam kwa njia ya maandishi.
Uislamu Vyanzo vyake na misingi yake - (Kiswahili)
Mtunzi wa kitabu hiki ameelezea kuhusu Uislamu kwa ufupi kwa kutaja maana yake nguzo zake na vyanzo vyake vitukufu, pia ameeleza mambo yanayo takiwa kubainishwa katika hali ya kulingania dini ya Uislam.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 32 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mahala atakapo pumzika Mtume (s.a.w) Peponi baada ya kufa kwake, pia imefafanunua na kutafsiri maajabu yote aliyo kutana nayo Mtume (s.a.w) na Malaika.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 31 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika hadithi ya ndoto na maajabu aliyoyaona akiwa na Malaika, pia imezungumzia nyumba aliyokabidhiwa Mtume (s.a.w) na Malaika baada ya safari ndefu.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 30 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya malipo ya mtu mwenye kuswali swala ya jamaa nyuma ya takbira ya Imamu kwa siku arubaini, pia imezungumzia swafu iliyo bora kwa wanaume.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake29 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya malipo ya mtu mwenye kwenda mapema msikitini, pia imezungumzia faidha ya swala ya jamaa na umuhimu wa kukumbuka neema za Allah kabla ya kuulizwa siku ya Qiyama.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 28 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Umuhimu na ubora kwa mwanamke wa kiislamu kuswalia nyumbani, pia imezungumzia fadhila anazopata mtu anapokaa msikitini akisubiri kuswali.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 27 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) juu ya ubora na thawabu anazopata mtu anapoenda msikitini, pia imezunguzia hatari ya mwanaume wa kiislamu kuswalia nyumbani badala ya msikitini.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 26 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Miongoni mwa faida za kumtembelea mgonjwa au ndugu katika Uislamu ikiwemo kukumbushana katika mambo ya kheri, pia imezungumzia umuhimu na ubora wa ibada ya swala.
Wito wa Mtume (s.a.w) Katika Mwongozo Wake 25 - (Kiswahili)
Mada hii inazungumzia: Mwongozo wa Mtume (s.a.w) katika kuwalea mabinti katika majumba na malipo anayo pata mwenye kuwalea mabinti wawili katika misingi ya uislam, pia amezungumza kuwa watoto wakike wanalindwa.

 
                                    